Mwengine ajitosa uwenyekiti ACT.
Mwanachama mwengine wa ACT wazalendo amechukua fomu ya Kugombea Uwenyekiti wa Taifa chama hicho huku akiahidi kuongoza chama katika misingi bora katika umoja na mshikamano. Mwanachama huyo ambaye ni Hamad Masoud Hamad aliyaeleza hayo mara badaa ya kuomba nafasi hiyo na kukabidhiwa fomu huko katika Ofisi ya chama hicho iliyopo Mtaa wa vuga Mjini Zanzibar
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed